BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Kushuka kwa takwimu rasmi za Ebola ni habari njema, lakini hatari bado ipo
Kupungua huko kunatokana na data bora zaidi, baada ya maabara kuweza kuwatenga wagonjwa wengi waliokuwa na homa lakini wakisumbuliwa na magonjwa mengine kama malaria, ambayo ni ya kawaida DRC.
Aina mpya ya ugonjwa wa kisukari unaowapasua vichwa wataalamu
Madaktari walimwambia Noella alikuwa na kisukari aina ya 5, ambayo huwaathiri vijana hususan wale walio na uzani mdogo sana.
Mashambulizi ya makombora na 'hatari inayowakabili viongozi wa Iran'
Siku za hivi karibuni lugha ya vita na vitisho imeonekana kushamiri katika taarifa za maafisa wa Iran kuliko kuzingatia diplomasia na ''mazungumzo".
Kijiji ambacho watu husafiri kilomita 45 kuchaji simu zao
Maafisa husika wanasema kutounganisha umeme katika Kijiji hicho kunatokana na hali mbaya ya barabara.
Je, Elon Musk kuwa trilionea wa kwanza duniani?
Iwapo hisa za kamuni hiyo zitauzwa zaidi ya dola 135, itakuwa mojawapo ya makampuni tajiri duniani. Hilo likitokea na Musk ambaye anamiliki 80% ya Space X anaweza kuwa trilionea.
Iwapo Iran na Marekani wataafikia makubaliano, Israel itakuwa na chaguo gani?
Ikiwa mazungumzo yatagonga mwamba, Israel huenda italazimika kutegemea kampeni ya muda mrefu inayohusisha operesheni za kijeshi na za siri ili kuzuia Iran kupata silaha za nyuklia.
Je, vidonda vya mdomo visivyopona ni dalili ya saratani?
Hapo awali, ugonjwa huu ulikuwa ukionekana tu kwa watu wa makamo au wazee. Lakini sasa, visa vinaongezeka pia kwa vijana.
Wachunguzi Zanzibari wasema mwanamitindo wa Marekani Ashlee alijiua
Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Zanzibar, Zuberi Chembera, alisema wachunguzi wamebaini bila shaka kwamba kifo cha Bi Robinson kilitokana na kujiua.
Je, ni akina nani wanaoshikilia rekodi za Kombe la Dunia?
Kombe la Dunia la 2026 linalofanyika Marekani, Canada na Mexico tayari ni mchuano uliovunja rekodi.
Familia 10 tajiri zaidi Duniani
Familia 10 tajiri zaidi ulimwenguni kwa pamoja zinadhibiti mamia ya mabilioni ya dola kupitia minyororo ya rejareja ya kimataifa, utajiri wa mamlaka, na himaya za anasa.
Hezbollah yapinga makubaliano mapya ya usitishaji vita kati ya Israel na Lebanon
Marekani ilitangaza makubaliano ya kusitisha mapigano Jumatano usiku kufuatia duru mpya ya mazungumzo.
Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
WARIDI WA BBC: Akiwa na miaka 12 alitafutiwa mume wa miaka 50, leo ameokoa mabinti 300
Sikuelewa mengi kuhusu ndoa, lakini nilielewa jambo moja maisha yangu yalikuwa yanabadilishwa bila ridhaa yangu.
Rosana Kathure: "Ningejua anayenioa atanikata jicho, nisingeolewa"
Rosana anasema mume wake alikuwa akimuambia maneno makali kila walipokwazana lakini yeye aliyachukulia kirahisi.
Afrika kuanza kutumia Su-34M, ndege mpya za kivita za Urusi
Su-34M ni ndege ya kivita ya Urusi ambayo ni ya mashambulizi ya masafa marefu , iliyotengenezwa kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini, baharini na pia kujilinda angani.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania
Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.
WARIDI WA BBC: 'Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne'
Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.
Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?
Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.
Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?
Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?
Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.
Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.
Tunachojua kuhusu mashambulizi mapya kati ya Marekani na Iran
Mashambulizi haya ya hivi karibuni yanatokea wakati mazungumzo ya kusitisha mapigano yamekwama, baada ya juhudi za kumaliza miezi kadhaa ya mapigano kushindwa kuleta maendeleo yoyote mwishoni mwa wiki.
CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani


